Pages

MY JOURNEY OF LEARNING ANIMATION HAS MADE ME THE CO-FOUNDER OF THE 3D-ANIMATORZ IN TZ (Tanzania Animations Artists)









Hi everyone my name PASCAL VENANCE, am the founder of the 3D Animators in TZ, Tanzania Animation Artist. Wakati naanza safari yangu ya Animation nilijua niko peke yangu, lakin badae nilijua kuna wenzangu wanaopenda kufanya Animation kama mimi.
Hivyo basi sikujua nianzie wapi ili nifike kule ninapopataka. Nilianza kupitia mitandaoni  hasa Facebook. Mwaka 2012,nikaamua kufungua Group Facebook kwa ajili ya kukutana na watu ambao nitaweza kubadilishana nao mawazo na kuleta mapinduzi kwenye Animations. Na ivyo watu wengi niliokutana nao mwanzoni walikua Wazungu na Wahindi.

     Nakumbuka sana kwa Tanzania hii mtu wa kwanza kukutana nae na pia ni kijana mwenzangu ambae pia anafanya Animations, Graphics in Motion na VFX, alikua RONALD FUGARA. Nilihisi faraja sababu alinifundisha pia vitu vingi hasa LIGHTWAVE 3D, Na pia niliweza kukutana na Sayd Fuad kutoka Zanzibari akiwa nae anafanya Animation, Colly wa Tanskillz pia, Henry Kafuku pia, lakin badae niliweza kukutana na Yusuf Wickama ambae hasa anafanya VFX na Simulations.


    Nakumbuka pia nilivokutana na GEORGE LUPEZA ambae alikua anatumia Blender, na nikakutana apo pia SULTAN TAMBA, Director wa zamani wa Filamu za Kitanzania ambae pia anafanya Animations,Team ikawa inaongezeka  muda baada ya muda. Lakini watu wa nje nliokutana nao pia siwez kuwasahau,kama MASSA BRUNO, PRIYANKAR BHATTACHARJEE, SUBHAYAN BHATTACHARJEE, ALEX SMITH. Na wengineo.
Kwa upande wangu, Software ambazo nlikua natumia, na pia kwa kuanza nilianza na Software za REALLUSION, na nikaanza na CrayzTalk 6 for facial Animations, na pia nilianza kutumia CrayzTalk Animator PRO, for full body Animation, mpaka sasa bado natumia pia. Na apo pia nikaanza kutumia iClone 5 For 3D Animations. Japo ni software za kitoto ila niliweza kujifunza ivyo ivyo, Badae nikaanza kujifunza Blender hasa baada ya kukutana mtandaoni na GEOFREY MAYOLO, wakati huo nilikua naiona ngumu kwangu sababu nilikua nishazoea software zenye templates, Wakati najifunza Blender ndo ilikua kipindi ambacho nakutana na LUCAS ACUMEN, nikaamua kufungua group la WHATSAP, nakumbuka tulikua wachache sana,alikua LUCAS,RONALD, FUAD, WIKAMA, TAMBA, ADELINA, CUTHBERT na MAYOLO, akiwemo NASSORO au CHOLOWAO, na tulikua tunaelewana kwa kweli yani na group lilikua limetulia.



      Lakini Group lilikuja kuongezeka members baada ya kufunguliwa kwa kampuni ambazo zinafanya ANIMATIONS, so hapo MEMBERS wakaanza kua wengi, Hapo ndo nilipokutana na GEORGE MPEPO nae anafanya ANIMATION kwa kutumia BLENDER, Apo pia nikakutana na STEVE KABUYE  akiwa anafanya sana MOTION GRAPHICS kwa kutumia Cinema 4D, na pia niliweza kukutana na JUSTICE NOVATI na  wafanyakazi wengine wa iDev Company. Katika kipindi icho CONNECTION yetu ya kazi na watu wanaofanya ANIMATION ikawa inazidi kuongezeka na pia nikampata ELNEST MWAMI nae akiwa anafanya ANIMATION na BLENDER ambae aliletwa na Lupeza, na baada ya kuja Elnest akamleta ROBERT MAGEMBE. Hapo pia mfanyakazi wa ITV ROY REUBEN akaja pia kuungana na sisi akiwa anafanya ANIMATION kwa kutumia AUTODESK MAYA.

    Hakika nimeweza kukutana na watu wengi wazuri ambao wamekua msaada mkubwa kwangu, na wameweza kunipa SUPPORT mpaka hapa nilipofikia kwa sasa. Na kuna Gabriel Goodluck, Erick Malz, Ben Gang, George Arch, hawa nilikutana nao instagram na nashkuru na pia  walinielewa nia yangu.


  Katika kitu ambacho siwezi kukisahau ni kipindi ambacho nakutana na Familia ambayo wote wanafanya 3D. Na kilichonishangaza zaidi na wala sikuamini kabisa ni kukutana na mmoja wa familia iyo nae akifanya 3D, WINFRIDA SENGA msichana ambae anafanya 3D hasa INTERIOR DESIGN. Akiwa amesomea CHUO CHA ARDHI. Ni hayo tu..siwezi kuongea mengine. Lakini pia nimeweza kukutana na wasichana wengine wanaofanya ARCHITEC akiwemo  VIOLET na EVA SAKINOI. Na sasa wakiwa wameongezeka akiwemo HONNORATHA MEERA, NULU LIYAU ambae ni Balozi wa Vijana Afrika Mashariki, na FRIDA MDUMA. Pia yupo SUBIRA MSANGI ambae ni GRAPHICS DESIGNER.

   Kwa sasa nafanya kazi kwa Maria Sarungi Tsehai, Compass Communications Co LTD nikiwa kama Assistant Editor na nikiwa nafanya pia Graphics in Motion. Na sasa hivi nikiwa natumia Cinema 4D for motion graphics, Zbrush for character modeling,na pia Blender na Lightwave. Na kwa 2D Animation natumia Anime Studio na CrayzTalk Animator PRO.




   Daima nafurahi kutoka moyoni kwamba nimewakutanisha watu mbali mbali wameweza kubadilishana mawazo na kujifunza,kufundishana pia, na nimeweza kugundua vitu vingi kutoka kwao, mpaka hatua ya mimi kuwaleta pamoja lakini nasikitika sana kuona kwamba kuna watu ambao bado hawapendi kile nilichokifanya na wanaonekana hawaoni umuhimu wangu kwao, na ata swala la umoja wa kufanya kazi kwa pamoja na kushirikiana hawalitaki, kiukweli yani naongea kutoka moyoni mwangu, jambo hili linaniumiza sana moyoni, lakini wale nilioanza nao wamekua wakinielewa nini nataka, Umoja ndo kila kitu kwetu. Hebu 
angalia wewe ulikotoka mpaka ulikofikia hapa, nimeweza kukutanisha na watu wengi wanaofanya ANIMATIONS, Je bila mimi ungefika hapo wewe ulipo??? Wala sijisifu..!! Lakini cha kushangaza kuna watu wamekua kama wachochezi wa kuvunja huu UMOJA nilioutengeneza kwa miaka 4. Najaribu tuu kusema. Hebu fikiria, kaa chini na utafakari, mfano tuu niko na Ronald na Wikama kwa miaka 4 ivi, hawa ndo wangekua wa kwanza kuvunja UMOJA huu, lakini mpaka leo hii tuko pamoja na nia yetu ni moja, Kuna watu ni waaminifu sana kwangu na nashukuru sana kuwa nao karibu,mmekua mnanisaidia kimawazo sana tena sana. NAWASHKURU SANA. NA NAAMINI HUU NI MWANZO TU! 


                           
    BILA KUSAHAU NAWASHUKURU WOTE WALIONIWEZESHA HADI NAFIKA HAPA LEO HII.. Na kuwataja wengine amabao kwa namna moja ama nyingine wameweza kuleta hali Fulani ya mabadiliko au naweza kusema IMPROVEMENT kwangu na kwa wengine pia, akiwemo ALEX PANCRAS, ROY MLONDA na ERICK BRANCO. Na nawashukuru sana SAIDI MICHAEL mchoraji wa katuni za WAKUDATA, na FADHIL MOHAMEDI mchoraji wa katuni za KABWELA.



ASANTENI.

Unknown

This is the author who took his/her time and wrote down this post he/she is an artist. you can go to the contact page to contact him/her

43 comments:

  1. Replies
    1. Asante sana Mume mwenza.. tena sana Lucas. naitaji sana msaada wako.

      Delete
  2. Replies
    1. thanks man.. kaka naomba tuzidi kupeana sapoti.. turekebishane, tuelekezane pia.. nashkuru pia uwepo wako pia kwetu umetubadilisha sana.

      Delete
  3. Nimeipenda hiyo. Keep that spirit Pascal.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Asante sana kaka mnyakyusa..tuko pamoja naamini ilo na tutafika tu kule tunakopataka!

      Delete
  4. You are such an inspiring instrumental key to youth...

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nashkuru sana kaka Bernard... japo ni mara yangu ya kwanza kukutana na wewe leo!

      Delete
  5. NAITAJI SANA MSAADA WENU, MAWAZO YENU NDO KILA KITU KWANGU.. NAWASHURU SANA

    ReplyDelete
  6. Replies
    1. Kaka Robert Magembe upoo ad ukuu...aahaahaa asante sana kaka

      Delete
  7. Ni dhahiri kua ndo zako zimeanza kutimia kijana, nakukumbuka sana wakati unaanza..hahahah....welcome to coding am there too.

    ReplyDelete
  8. Asante sana kaka Sayd Fuad...nakumbuka sana enzi izo tunakutana mtandaoni.. Pia kaka mpaka Leo hii Niko apa...kuna watu wananiangusha.. Kuna watu wanachukia nilichofanya, hawapendi, yan wana Ego's wanatamani wangekua wao ndo Mimi...wanatamani Uongozi tena UROHO wa dhahiri ambao unaonekana kabisaa yani.. Nashukuru niko na Ronad Fugara..mpaka leo hii tunaelewana Na akiharibiki kitu...japo kuna unafiki wa apa na pale ambao watu wanautengeneza lakini bado..na wala sijui kukata tamaa.

    ReplyDelete
  9. kijana safi xna, siamini ulijitoa muhanga for 4 year to make me here i am , bila ww pia hata mm nisingekuwa hapa nilipo kwa speed hii... umenikutanisha na wengi pia thanx much bro, usikate tamaa wako wengi km mimi wanakusubiri ww huko nje.... ur de saviour of my career, thanx bro

    ReplyDelete
    Replies
    1. Aahaahaa bwana Frank upoo!!??? Asante sana kaka.. Tufanye yetu kaka

      Delete
  10. Ni Jambo zuri ulilolifanya kufikia sasa, tunategemea kuona kitu kingine tofauti cha maendeleo katika CG community toka kwako. Challenges zote ulizokutananazo zilikua ni zamuhimu sana yakupasa uzichukulie kama changamoto na usiunde uadui.
    Hakuna maendeleo yasio na changamoto.
    Keep nice work bro.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nashkuru sana kaka kwa mawazo yako.. Asante tuko pamoja sana!!

      Delete
    2. aahahahaahaahahaha Mayolo i got u bro.... mimi niko sawa kaka ila kuna mengi sana nataka kuyaweka sawa.. we mwenyewe unajua tulikokotoka. tulikoanzia mpaka apa tulipofikia... siwez kuruhusu ujinga utokee tena wa kutusambaratisha... Asante sana kaka na nashkuru sana kwa mawazo yako na pia endeleza harakati braza. Tuko pamoja sana!

      Delete
  11. This is an inspiring article. Hongera!!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Asante sana HONO.. Asante pia kwa kunielewa!!

      Delete
  12. This website has grown am inspired with all these comments

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mume mwenza nashkuru kwa EFFORTS zako kaka... Tena sana man.. Ahaahaa me & u bro tufanye yetu mpaka tutoke kwenye RATRACES!

      Delete
  13. Awesome post bro, very inspiring and motivating. Well done bro, big up kwa sana

    ReplyDelete
    Replies
    1. Charles you are good in story boarding...za Animation... Please tupeane sapot please!!!

      Delete
    2. Asante sana lakini Charles!!

      Delete
  14. congratulation! u made it ...keep it up dear�� all the best

    ReplyDelete
    Replies
    1. Jirani asante sana.. Momoxa Ney...

      Delete
    2. This is an inspiration to me. Congratulations dear brother may Almighty God guide you.

      Delete
    3. This is an inspiration to me. Congratulations dear brother may Almighty God guide you.

      Delete
    4. Asante sana Violet..tuko pamoja

      Delete
  15. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  16. congratulations bruh...am proud aisee! 😄

    ReplyDelete
  17. congratulations bruh...am proud aisee! 😄

    ReplyDelete
  18. Congratulations dear brother may Almighty God guide you.

    ReplyDelete
  19. Congratulations dear brother may Almighty God guide you.

    ReplyDelete
  20. Nice work you did brother kutukutanisha! Sisi tunaona umuhimu wa huu muungano! Tutafanya jambo kubwa tu soon!

    ReplyDelete